Karibu katika kipindi hiki cha FAMILIA kutoka Jamii Production.
Katika kipindi hiki, tunaendeleza mjadala juu ya WAJIBU WA MZAZI KATIKA FAMILIA na kwa wiki hii, mjadala ulikuwa KWANINI WANANDOA HUTEMBEA NJE YA NDOA?
Mbali na washiriki waliokuwa studio, pia tuliweza kusoma maoni toka kwa wasikilizaji wetu wanaoacha katika kurasa zetu za FACEBOOK
Karibu uungane nasi.
No comments:
Post a Comment