TUMEHAMA / WE HAVE MOVED

TAFADHALI TEMBELEA TOVUTI YETU MPYA WWW.JAMIIPRODUCTION.COM (bofya hapa)

PLEASE VISIT OUR NEW WEBSITE WWW.JAMIIPRODUCTION.COM (click here)

TUMEHAMA. TAFADHALI TEMBELEA TOVUTI YETU MPYA WWW.JAMIIPRODUCTION.COM..........WE HAVE MOVED. PLEASE VISIT OUR NEW WEBSITE WWW.JAMIIPRODUCTION.COM

Picha Zetu


Dj Luke Joe alipofanya mahojiano na Jamii Production
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara alipokuwa akisisitiza jambo wakati wa mahojiano mafupi aliyofanya na Jamii Production kabla ya KUZINDUA RASMI shughuli za kutayarisha na kusambaza matangazo ya Radio na Video.

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akiwa na waanzilishi wa Jamii Production, Mubelwa Bandio (kulia) na Abou Shatry (kushoto)

Na......
Hakuna litajalokuwa na maana kama hatutajua namna ambavyo utendaji wetu unaathiri maisha yako kwa namna CHANYA na HASI
Wewe (msikilizaji, mtazamaji na msomaji wetu) ni mdau mkubwa wa kufanikisha hili.
Tuzidi kushirikiana
TWAWAPENDA
Msimamizi wa vipindi na mpigapicha mkuu wa Jamii Production Abou Shatry akisisitiza jambo kabla ya kuwasili kwa mgeni rasmi

Mtayarishaji na Mtangazaji wa kipindi cha FAMILIA Georgina Lema akiwa "kitini"

Mmoja wa wawezeshaji wakuu wa Jamii Production Bwn Isidory Lyamuya wa Prestige Health Services akijaribu vitendea kazi vya kituo

Mhe. Waziri Mukangara akipokea maelezo ya utendaji wa kituo. Kushoto ni Afisa Ubalozi Mindi Kasiga

 Mhe. Waziri akisikiliza RISALA ya Jamii Production 

 Mhe. Waziri Mukangara akijibu risala ya Jamii Production

Bwn Isidory Lyamuya akipata akipata picha ya pamoja na Mhe. Waziri kwa msaada anaotoa kufanikisha kazi za Jamii Production

Bwn Isidory Lyamuya akipata mkono wa pongezi toka kwa Mhe. Waziri kwa msaada anaotoa kufanikisha kazi za Jamii Production

Abou Shatry akipongezwa na Mhe Waziri Mukangara

 "Mwanamama" Georgina Lema wa kipindi cha FAMILIA akipata kumbukumbu na Mhe. Waziri

  Mkurugenzi wa Mambo Jambo Radio Bwn Julius Makiri ambaye aliungana nasi katika uzinduzi huu rasmi akipata kumbukumbu na Mhe. Waziri

 Mhe. Waziri Dkt Fenella Mukangara na Afisa Habari katika Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani Mindi Kasiga pamoja na wanaJAMII

 

Hakuna ZAWADI kubwa sawa na kilichofanyika. Na zawadi pekee tuliyonayo ni UPENDO. Ambao hauonyesheki wala haupimiki.

Lakini....tunapenda POPOTE UWAPO, UKUMBUKE SIKU YA LEO.
Na hivyo..twaomba KIKOMBE hiki kiwe kumbukumbu ya tukio hili kubwa kwetu

Abou Shatry akiwa mahala anapopatawala zaidi...
Kipindi cha FAMILIA kutoka kwa mtayarishaji Dada Ndeletwa C. Lema kinachorikodiwa kila Jumamosi katika Studio za Jamii Production, kutoka Washington DC, nchini Marekani

Mmoja wa wajangiaji wa kipindi cha Familia Mama Martha akichangia na kusikiliza maada inayohusu   jitihada za malezi ya watoto ndani ya familia zetu, kilichotayarisha na  Dada Ndeletwa C. Lema ndani ya Studio ya Jamii Production.

Mwanachangamoto yetu, fundi mitambo piamchangiaji wa kipindi maalum cha Familia k Mubelwa Bandio akichangia Jambo ndani ya Studio ya Jamii Production.

 Mmoja wa wajangiaji wa kipindi cha Familia Dada Oliver Lyimo, akichangia na kusikiliza maada inayohusu   jitihada za malezi ya watoto ndani ya familia zetu, kilichotayarisha na  Dada Ndeletwa C. Lema ndani ya Studio ya Jamii Production.

Muongozaji wa kipindi cha Familia Dada Ndeletwa C. Lema akifafanua jambo 
Mwanachangamoto yetu, fundi mitambo na pia muendeshaji kipindi  maalum kuhusu tukio la ugaidi nchini Kenya Mubelwa Bandio akiwa mitamboni.

Wanaharakati wa Jumuiya ya waKenya DMV Mwalimu Mkawasi Mcharo Hall alipokua akufanya mahojiano na Jamii Production kuhusu shambulio la mauwaji ya Westgate Mall  siku ya Jumamosi Sept 29 ndani ya Westgate Mall jijini Nairobi Kenya.

Moja kati ya wanaharakati wa Jumuiya ya waKenya DMV na pia  Mtangazaji wa Redio ya theonemic Show Washington DC  Ali Badawy akiwa makini katika kipindi ndani ya Studio ya Jamii Production iliopo Washaington DC nchini Marekani 

 Mwalimu Mkawasi Mcharo Hall akiwa makini katika kipindi ndani ya Studio ya Jamii Production iliopo Washaington DC nchini Marekani.


Mzee wa swahilivivilla Camera Man Abou Shatry akiwa na kilevi chake


Mzee wa Changamoto yetu nae pia akiwa katika kilevi chake





















No comments:

Post a Comment